BW. ATILIO TAGALILE AFARIKI DUNIA
Bw. Atilio Tagalile alikuwa kuwa Mwandishi, Mchambuzi na Mkufunzi, pia aliwahi kuwa kazi Radio Channel Africa pamoja na Sauti ya Ujerumani (DW), mwisho kabisa alifanyia kazi Magazeti ya Daily News na The Citizen.
Bwana Ametoa, Bwana ametwaa, jina la Bwana lihidiwe.#RIPATILIO🙏
Post a Comment