Mwaura alipotea akiwa na umri wa miaka 23 tu mnamo 1974 baada ya kupelekwa dukani kununua mchele wa familia.
Aliripotiwa kupoteza njia wakati wa mchakato huo, alijikuta akiwa Nairobi hana pesa na hana jamaa wa kumgeukia kwani aligundua kuwa kaka zake ambao walikaa jijini pia walikuwa wamehama.
Kisha akapanda safari kwenda Naro Moru katika Kaunti ya Nyeri ambapo alianza maisha mapya na baadaye akafunga ndoa na mwanamke ambaye alikutana naye huko.
Mwaura, ambaye alifika nyumbani akiwa na suti ya samawati (KATIKATI) aliwajulisha wanafamilia kwamba sasa ameoa na amejaaliwa na ana watoto wanne.
0 Comments