IMF YATENGA DOLA MILIONI 650 KWA SENEGAL

Shirika la Fedha Duniani (IMF) limepitisha msaada wa dola milioni 650 kwa Senegal kwa ajili ya kuisaidia nchi hiyo, kufuatia kuenea kwa maambukizi ya #COVID19. 

Janga hilo limeathiri uchumi wa Senegal sana na kusababisha kuongezeka kwa maambukizi kwa wastani wa 1.5% mnamo 2020 kutoka 5.3% mnamo 2019, IMF ilisema. 

Rais wa Nchi hiyo, Macky Sall pia amesema ni hatua nzuri ambayo IMF wamechukua kutusaidia kwani maambukizi yamekuwa mengi na uchumi umepungua kufuatia janga la #COVID19.

No comments