Huu ni mwendelezo wa mzimu mbaya kwa Dembele unaomkumba tangu ahamie Barcelona.
Madaktari wa Barcelona waliwahi kutoa ripoti kuwa, changamoto ya Sheikh Ousmane ni kucheza sana Video games na muda mdogo zaidi wa kupumzika
Hii inaleta athari kubwa kwa afya ya Mchezaji.
Madaktari wa Barcelona waliwahi kutoa ripoti kuwa, changamoto ya Sheikh Ousmane ni kucheza sana Video games na muda mdogo zaidi wa kupumzika
Hii inaleta athari kubwa kwa afya ya Mchezaji.
0 Comments