GUVIN HUNT AFUTWA KAZI

Timu ya Kaizer Chiefs imeamua kuachana na Kocha wao Guvib Hunt.

Kaizer Chiefs wamemaliza mkataba wa kocha Gavin Hunt na kuanza kazi mara moja. 

Hunt alijiunga na Amakhosi mnamo Septemba 2020 kabla ya msimu wa 2020/21.

Mpaka Wakati huu, alikuwa ameshasimamia imamia mechi  44 (12W, 17D, 15L) katika mashindano yote.

Makocha Wasaidizi Arthur Zwane na Dillon Sheppard wanatarajia kusimamia timu hiyo kwa muda, mpaka watakapo tangaza Kocha mpya.


No comments