Kheri ya mfungo wa Kwaresma
Photo from Michael Kumbunho
*ONGEZA MAARIFA KATIKA KIPINDI CHA KWARESMA*
*Nifunge nini Kwaresma?*
🤷🏽♂️🤷🏽♂️🤷🏽♂️🤷🏽♂️
Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima
⛪1.Funga *huzuni* upate *furaha.*
⛪2.Funga *ulabu* upate *siha.*
⛪3. Funga *majivuno* upata *utukufu.*
⛪4.Funga *uzinzi* upate *wongofu*
⛪5.Funga *kisirani* upate *utakatifu.*
⛪6.Funga *umbea* upate *fanaka.*
⛪7.Funga *wivu* upata *baraka.*
⛪8.Funga *unafiki* upate *uchaji.*
⛪9.Funga *kinyongo* upate *faraja.*
⛪10.Funga *kwaresima* wakati ni huu
⛪12.Funga *kiburi* ujazwe *hekima.*
⛪13.Funga *jeuri* ujawe *rehema.*
⛪14.Funga *hofu* ujazwe *imani*
⛪15.Funga *kinywani* ujazwe *moyoni.*
⛪16.Funga *kisirani* ujazwe *rohoni.*
⛪17.Funga *dharau* ujazwe *heshima.*
⛪18.Funga *majungu* , ujazwe *neema*
⛪19.Funga *usiri* ujawe *wafuasi*
⛪20.Funga *tamaa* ujazwe *kiasi.*
*⛪Funga kwaresima wakati ni huu*
Tuwe na mchana mwema
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
_Nakutakia mfungo mwema._
*KUMBUKA LEO NI IJUMAA,KWARESMA..🙏🔥
Post a Comment