FAHAMU VYAMA 6 VYA SIASA VYENYE SIFA YAKUPATA RUZUKU

Vyama 6 vya siasa vyenye sifa ya kupata ruzuku vimeanza kuneemeka baada ya kuingiziwa mgawo wa fedha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

CCM sh. Bilioni 1.33 
ChademaTz sh. milioni 109.68
ACTwazalendo sh. milioni 14
CUF sh. milioni 5.7
NCCR-Mageuzi sh. 316,937
DP sh. 63,387

#BinagoUPDATES

No comments