CRISTIANO RONALDO AWEKA REKODI

Baada ya Juventus kuifunga Napoli goli 2-0 kwenye fainali za Super cup Ronaldo aliweka rekodi hizi.
⁣⁣⁣
- Amekua mfungaji bora wa muda wote akiwa na magoli 760 ⚽️ ⁣⁣⁣

- Alichukua tuzo ya Mchezaji bora wa mechi ya Supercoppa Italiana 🥇⁣⁣⁣

- Ameshinda taji lake la 4 ndani ya Italia ambalo ni Super cup Italy 🏆⁣⁣⁣
 
#BinagoUPDATES

No comments