"Kusali kwa kupayuka hafai kitu, hila ni kutangaza matatizo yako kwa majirani zako iwe ni kanisani au ukiwa nyumbani, kumbuka Mungu anataka maombi yako yawe ya siri, sio matangazo Mathayo 6:7-..., kwaiyo wanaofanya hivyo ni makosa bora wajirekebishe mapema, hilo ni ombi langu kwa Wakristo wote Tanzania na duniani kwa ujumla"
Hayo ni maneno ya Mzee wa Upako Lusekelo

0 Comments