"Ferguson hakuongea na mimi njia nzima." 😂


 🚨🇵🇹| Nani: 


"Siku moja, Alex Ferguson alituuliza kama mmoja wapo angeweza kumpeleka nyumbani baada ya mchezo wa mwisho wa wiki dhidi ya Fulham. Nikasema: 'OK boss, Nitakupeleka mimi nyumbani, haina shaka!'. 


Baadae kwenye mchezo, tukiwa mbele kwa 2-1, tukapata mkwaju wa penati na nikamuomba Giggs aniruhusu nikaipige. Akanikubalia, lakini nikakosa ile penati na Fulham FC Official wakasawazisha kufanya iwe 2-2 ilikuwa dakika ya 88... 


Baada ya mchezo, kama ilivyokuwa imepangwa, Nikamchukua Sir Alex kwenda nyumbani lakini hakuongea na mimi njia nzima." 😂




No comments