Winga wa Leicester City Lookman amekamilisha uhamisho wake wa uraia kutoka Uingereza kwenda Nigeria 🇳🇬

Rasmi: Winga wa klabu ya soka ya Leicester City Ademola Lookman (24) amekamilisha uhamisho wake wa uraia kutoka Uingereza kwenda Nigeria 🇳🇬 na tayari imeidhinishwa na FIFA. 💯

Lookman atakuwepo kwenye mechi za mchujo za kufuzu Kombe la Dunia mwezi ujao dhidi ya Blackstars ya Ghana 🇬🇭.

Hapo awali alichezea England U19, U20 & U21 ..

(Via NUHU Adams)

No comments