• HOME
  • BREAKING NEWS
  • TAMTHILIA
  • MICHEZO
  • MATANGAZO
  • CONTACT US

BINAGO BLOG

  • Home
  • Home / Habari / WATANZANIA WUHAN WAFANYA UCHAGUZI WA MWENYEKITI

    WATANZANIA WUHAN WAFANYA UCHAGUZI WA MWENYEKITI

    Bisaya Raphael June 22, 2021 Habari
    Jumuiya ya Watanzania wanaosoma na kuishi Wuhan, wamefanya uchaguzi wa kiongozi wa juu wa Jumuiya hiyo (Mwenyekiti) ambapo katika uchaguzi huo Bi Zainab Aziz Jawad mwanafunzi wa masomo ya Famasia katika chuo cha Tonghji iliyoko Wuhan amechaguliwa kuongoza Jumuiya hiyo ya watanzania Wuhan.

    Wuhan, yenye watanzania takriban 400 ilikuwa ni sehemu ambapo ugonjwa wa korona ilikoanzia na kuipa jiji hilo kutambulika kwa namna ya utofauti duniani kote.

    Jumuiya hiyo ambayo ilikuwa ikiongozwa na Jacob Julius Rombo (JaJu) ambaye amameliza muda wake rasmi na kumkabidhi Bi Zainab Jawad siku ya jana tarehe 21 June 2021.

    Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya hiyo ndugu Jacob JaJu amesema katika kipindi chake cha kiongoza Jumuiya hiyo amejifunza mambo mengi sana ya kiongozi na kubwa namna ya kustahimili masuala yanapokuwa magumu na kufanya maamuzi sahihi kwa kufuata taratibu zilizowekwa hususan ukiwa nchi za watu.

    Ndugu JaJu, amesema anaamini Bi Zainab Jawad ataweza kuiongoza Jumuiya hiyo kwa mafanikio makubwa kwani anao uzoefu wa kutosha kutokana na ukweli kwamba alipata kuwa makamu wa Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo.

    Related Posts

    Habari

    Post a Comment

    No comments

    Subscribe to: Post Comments ( Atom )

    KWA SHEREHE NA SEMINA KARIBU UKUMBI WA LAKE TANGANYIKA, NZEGA-TABORA

    FOOTBALL STORIES

    Follow us

    • Like on Facebook
    • Follow on Twitter
    • Follow on Instagram
    • Subscribe on Youtube

    Popular Posts

    • kusuka na unyoaji katika Biblia
      kusuka na unyoaji katika Biblia
       KAMA MUNGU ALIVYOKWISHA KUWAONYA WANAWAKE ! NDIVYO ALIVYOKWISHA KUWAONYA WANAUME PIA. BWANA YESU asifiwe!😅 Maranatha!😅🙏🏻 N...
    • Je kutoa Mahari ni sawa ktk biblia?
      Je kutoa Mahari ni sawa ktk biblia?
      *https://youtu.be/-P4s8sVq31o* 🤔🤔🤔🤔🤔 *JE NI HALALI KWA MKRISTO KULIPA MAHARI ILI AOE?????* 🤔🤔🤔🤔🤔 . . . Hebu tutazame k...
    • HII NDIO MISINGI YA KANISA LA WASABATO DUNIANI
      HII NDIO MISINGI YA KANISA LA WASABATO DUNIANI
      KANISA LA #SDA LINA MISINGI 28 AMBAYO NI 1.Neno la Mungu 2.Utatu mtakatifu 3.Mungu baba 4.Mungu mwana 5.Roho mtakatifu 6.Uumbaji...

    Labels

    Habari MICHEZO Live injili Tamthilia Kesha la Asubuhi BREAKING NEWS magazeti Matangazo Covid19 Mastaa Viongozi today's quote Lesoni leo Wimbo wa Leo barikiwa Je Wajua? KULFI Bongo Movies Stories TETESI ZA USAJILI

    Facebook

    Created By SoraTemplates | Distributed By Gooyaabi Templates