Advertisement

Responsive Advertisement

WATANZANIA WUHAN WAFANYA UCHAGUZI WA MWENYEKITI

Jumuiya ya Watanzania wanaosoma na kuishi Wuhan, wamefanya uchaguzi wa kiongozi wa juu wa Jumuiya hiyo (Mwenyekiti) ambapo katika uchaguzi huo Bi Zainab Aziz Jawad mwanafunzi wa masomo ya Famasia katika chuo cha Tonghji iliyoko Wuhan amechaguliwa kuongoza Jumuiya hiyo ya watanzania Wuhan.

Post a Comment

0 Comments