NDUMBARO AKIMPA ZAWADI MAMADOU SAKHO

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro akimpa zawadi ya moja ya kikombe chenye nembo ya Hifadhi za Taifa, Nyota wa Klabu ya Crystal Palace na timu ya Taifa ya Ufaransa, Mamadou Sakho akiwa na Mkewe Majda Sakho mara baada ya mkutano na vyombo vya habari uliofanyika Jijini Dodoma ambapo Nyota huyo ameahidi kuwaleta Mastaa wengi wa Soka kuja kutembelea vivutio vya Utalii nchini. Mamadou Sakho ni Balozi wa Hiari wa Utalii Tanzania. Wa kwanza kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt.Allan Kijazi

No comments