ALI KAMWE; YANGA WAKIBADILIKA KUNA FUTURE MBELENI
Ndani ya siku 3, Yanga wamecheza mechi 2. Dhidi ya Ruvu Shootings na Mwadui FC
Mwadui tayari wameshuka daraja. Ruvu ana pointi 37. Tofauti ya pointi 2 na timu inayoshika nafasi ya kuteremka daraja moja kwa moja msimu huu
Kwenye hizo dakika 180, Yanga wamepata pointi 6, wakifunga Mabao 6 na kufungwa mabao 4
It's true, wamepeta pointi 6 lakini wengi walitarajia Yanga wapate ushindi wakiwa 'comfotabo', na hii ni kutokana na aina wapinzani aliokutana nao
Lakini tusisahau, na sio kwa Tanzania tu, katika dunia ya Football, nyakati kama hizi timu zilizokuwa kwenye hatari ya kushuka daraja huwa hatari sana.
Kwanini? Ziko sababu mbili
1: Kwa 'Underdogs', It's Do or Die kwao hivyo tegemea kuona Intensity ya mechi ikipanda. Tegemea kuona wakikimbia kilomita nyingi huku morali ikiwa juu.
2: Kwa Top Clubs, wachezaji huathirika kwa kiasi fulani kisaikolojia. Mara nyingi huanza mechi kwa kasi ndogo bila Tahadhari . Hii ni kwa sababu ya kuamini wanacheza na mpinzani dhaifu, hivyo bao litakuja tu.
Kwa lugha rahisi, mashabiki husema 'Walidharau mechi'. Ni mtego huu wa Kisaiokolojia ambao hunasa Top Clubs nyingi duniani katika mazingira ya mwisho wa msimu.
Hivyo, kama kuna mahala ambapo unaweza kuwalaumu Yanga ni kitendo chao cha kuwa re active na sio pro active.
Mbali na hapo, Kuna 'positivity' nyingi sana za kutazama kwenye kikosi cha Yanga.
Tactically, timu imebadilika. System iko better na style of play ni Fantastic sana. Makosa mengi yaliobaki ni ya wachezaji binafsi.
Na hapa ndipo unapoona viongozi wakipambana kwenye dirisha la usajili kuboresha ubora katika baadhi ya maeneo
Kuna kitu mwalimu Nabi ameanza kukipanda kwenye kikosi. Timu inatengeneza nafasi nyingi, zinazojirudia katika style moja.
Dhidi ya Mwadui, Yanga wametengeneza nafasi 10+. Dhidi ya Ruvu ni 8+. Kwenye wastani wa nafasi 18 kwa mechi 2 na kufunga mabao 6, hapa unaamini kama Yanga wangekuwa na mastraika wakatili, hizi mechi zingeisha kwa ushindi mnono.
Kama wataendelea kushinda, kujiamini kukarudi kwa baadhi ya wachezaji, Uongozi ukaboresha ubora baadhi ya maeneo, kuna Future nzuri.
Mwadui tayari wameshuka daraja. Ruvu ana pointi 37. Tofauti ya pointi 2 na timu inayoshika nafasi ya kuteremka daraja moja kwa moja msimu huu
Kwenye hizo dakika 180, Yanga wamepata pointi 6, wakifunga Mabao 6 na kufungwa mabao 4
It's true, wamepeta pointi 6 lakini wengi walitarajia Yanga wapate ushindi wakiwa 'comfotabo', na hii ni kutokana na aina wapinzani aliokutana nao
Lakini tusisahau, na sio kwa Tanzania tu, katika dunia ya Football, nyakati kama hizi timu zilizokuwa kwenye hatari ya kushuka daraja huwa hatari sana.
Kwanini? Ziko sababu mbili
1: Kwa 'Underdogs', It's Do or Die kwao hivyo tegemea kuona Intensity ya mechi ikipanda. Tegemea kuona wakikimbia kilomita nyingi huku morali ikiwa juu.
2: Kwa Top Clubs, wachezaji huathirika kwa kiasi fulani kisaikolojia. Mara nyingi huanza mechi kwa kasi ndogo bila Tahadhari . Hii ni kwa sababu ya kuamini wanacheza na mpinzani dhaifu, hivyo bao litakuja tu.
Kwa lugha rahisi, mashabiki husema 'Walidharau mechi'. Ni mtego huu wa Kisaiokolojia ambao hunasa Top Clubs nyingi duniani katika mazingira ya mwisho wa msimu.
Hivyo, kama kuna mahala ambapo unaweza kuwalaumu Yanga ni kitendo chao cha kuwa re active na sio pro active.
Mbali na hapo, Kuna 'positivity' nyingi sana za kutazama kwenye kikosi cha Yanga.
Tactically, timu imebadilika. System iko better na style of play ni Fantastic sana. Makosa mengi yaliobaki ni ya wachezaji binafsi.
Na hapa ndipo unapoona viongozi wakipambana kwenye dirisha la usajili kuboresha ubora katika baadhi ya maeneo
Kuna kitu mwalimu Nabi ameanza kukipanda kwenye kikosi. Timu inatengeneza nafasi nyingi, zinazojirudia katika style moja.
Dhidi ya Mwadui, Yanga wametengeneza nafasi 10+. Dhidi ya Ruvu ni 8+. Kwenye wastani wa nafasi 18 kwa mechi 2 na kufunga mabao 6, hapa unaamini kama Yanga wangekuwa na mastraika wakatili, hizi mechi zingeisha kwa ushindi mnono.
Kama wataendelea kushinda, kujiamini kukarudi kwa baadhi ya wachezaji, Uongozi ukaboresha ubora baadhi ya maeneo, kuna Future nzuri.
Post a Comment