SEKTA YA FEDHA NCHINI INAONGOZA KWA UIMARA-LUOGA
Sekta ya Fedha nchini Tanzania inaongoza kwa uimara na ubora katika nchi za Kusini mwa Bara la Afrika na Afrika Mashariki kwa vigezo vyote kutokana na usimamizi madhubuti wa uchumi na maboresho ya sekta hiyo.
Hayo yamebainishwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Prof. FLorens Luoga, wakati wa Semina kuhusu masula ya Fedha na uchumi kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, iliyofanyika Zanzibar.
Prof. Luoga alisema kuwa Benki Kuu inajivunia mafanikio makubwa katika mageuzi na maboresho ya Sekta ya Fedha ambayo yameifanya Sekta kuwa tulivu na kuwafanya wawekezaji kuwa na Imani zaidi ya kuwekeza nchini.
Hayo yamebainishwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Prof. FLorens Luoga, wakati wa Semina kuhusu masula ya Fedha na uchumi kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, iliyofanyika Zanzibar.
Prof. Luoga alisema kuwa Benki Kuu inajivunia mafanikio makubwa katika mageuzi na maboresho ya Sekta ya Fedha ambayo yameifanya Sekta kuwa tulivu na kuwafanya wawekezaji kuwa na Imani zaidi ya kuwekeza nchini.
Post a Comment