ANAANDIKA HAJI MANARA ✍

Wakati ule Simba iliposhutumiwa hadharani na mchezaji huyu sikuona huo Weledi unaoelezwa hv sasa,,
Nakumbuka vzuri baadhi ya TV na Radio Stations zilivyokomaa bila kujali Heshma ya klabu wala hawakujitambua kwamba Simba inachafuliwa jina na vyombo vyao vinaweza kuingia msambweni kwa kuripoti jambo lile!!
Page za hao Weledi feki zilijaa shutuma nzito kwa Simba bila kujali maadili ya hzo taaluma zao,,

Nani hajui Vice wa 40 M mara kadhaa ameituhumu Simba Kwa vtu vya uongo na bado vyombo vyao hvyo hvyo viliripoti ,na ktk page za Weledi wa Sharif Shamba ndio vilikuwa story yao kubwa ?
Hv Simba ndio inastahili kutuhumiwa peke yao ila wengine tunaona sio Weledi kutuhumiwa hadharani?

Kipi chenye Weledi zaidi kati ya kuibua tuhuma zitakazousafisha mpira wetu Kwa Rushwa au kumblock Asokile kusema kisa Media italaumiwa?

Mara ngapi mmeibuka kusema kuwa mpira wetu unanuka rushwa?
Kwa nn sasa mumzuie koplo Asukile kuweka wazi madudu ya 40M ?

Labda Kwa sababu Asokile havai Vipuza ndio maana sio ?

Juzi niliandika mahali lipo kundi haliwezi kuzuia wala kukemea mambo haya Kwa kuwa lenyew ndio wafaidika wakuu wa michongo hyo,,,,,

Kiufupi ni watu Mercenary na ukiwasikia wakiongea tu utajua ni wala mkate mbichi

No comments