NYOTA WA ZAMANI WA YANGA HAMIS TAMBWE AMEIBUKA MGUNGAJI BORA NAMBA MBILI LIGI KUU DJIBOUT

Nyota wa zamani wa Yanga, Amissi
Tambwe ameibuka mfungaji bora
namba mbili ligi kuu Djibout kwa kufunga
magoli 17 kwenye mechi 17 alizocheza.
Klabu yake ya AC Polisi imeshika nafasi
ya pili kwenye ligi hiyo.

No comments