KULA MIHOGO MIBICHI NI SUMU MBAYA SANA

JE WAJUA?

Wengi wanadhani Mihigo mibichi inaongeza nguvu za kiume lakini mihogo mibichi ina kitu kinaitwa CYANIDE hii ni sumu mbaya sana.

Sumu hii ikizidi kiwango cha concentration ya 0.5mg/L mpaka 3mg/L inaweza sababisha tatizo la kupooza na hata kifo cha Ghafla.
#BinagoUPDATES

No comments