KOCHA WA AL AHLY AHUSISHWA KUSAJILIWA SIMBA SC

Aliyekua kocha wa Al Ahyl, Rene Weiler(47) raia wa Uswisi ni miongoni mwa makocha wanaotajwa  kutua  simba Sc kuja kurithi mikoba ya Sven Vandenbroeck ambaye ametimkia FAR RABAT ya nchini Morocco.

Rene kwasasa yupo huru baada ya kufutwa kazi ndani ya Al Ahly ya Misri mwezi oktoba, 2020.
#BinagoUPDATES

No comments