Yanga yaweka πππ πππΎπππΏ NBCPL
... π¨ πππ πππΎπππΏ
Yanga imekuwa timu ya kwanza Tanzania bara kushinda mechi (7) kwa mabao (5) kila mechi katika msimu mmoja (1).
β Yanga 5 - 0 KMC
β Yanga 5 - 0 JKT Tanzania
β Yanga 5 - 1 ASAS π©π―
β Yanga 5 - 1 Simba SC
β Yanga 5 - 0 Jamhuri
β Yanga 5 - 1 Hausing Fc
β Yanga 5 - 0 Polisi Tanzania
Full β Yanga 5 - 0 Polisi Tanzania
β½ Guede π― Okrah β 13'
β½ Guede π― Okrah β 45'
β½ Farid Mussa π― Mkude β 33'
β½ Clement Mzize π― Kibwana β 82'
β½ Shekhan (Pen) β 87'
π Guede alihitaji kufunga goli ili kuirudisha confidence yake iliyopotea, kafunga.... Gari limewaka au bado ?
Muda ni hakimu.
"Yanga wamekutana na timu dhaifu ndio maana Guede na Austine Okrah wameonyesha kiwango bora lakini kama wangekutana na timu bora wasingekuwa kwenye kiwango kama hiki ambacho tumekiona" - Alex Ngeleza, Mchambuzi.
Toa maoni yako
Post a Comment