Yanga yaweka 𝙉𝙀𝙒 π™π™€π˜Ύπ™Šπ™π˜Ώ NBCPL


 ... 🚨 𝙉𝙀𝙒 π™π™€π˜Ύπ™Šπ™π˜Ώ

Yanga imekuwa timu ya kwanza Tanzania bara kushinda mechi (7) kwa mabao (5) kila mechi katika msimu mmoja (1).


β—‰ Yanga 5 - 0 KMC

β—‰ Yanga 5 - 0 JKT Tanzania

β—‰ Yanga 5 - 1 ASAS πŸ‡©πŸ‡―

β—‰ Yanga 5 - 1 Simba SC

β—‰ Yanga 5 - 0 Jamhuri

β—‰ Yanga 5 - 1 Hausing Fc

β—‰ Yanga 5 - 0 Polisi Tanzania


Full β€” Yanga 5 - 0 Polisi Tanzania


⚽ Guede 🎯 Okrah β€” 13'

⚽ Guede 🎯 Okrah β€” 45'

⚽ Farid Mussa 🎯 Mkude β€” 33'

⚽ Clement Mzize 🎯 Kibwana β€” 82'

⚽ Shekhan (Pen) β€” 87'


πŸ“Œ Guede alihitaji kufunga goli ili kuirudisha confidence yake iliyopotea, kafunga.... Gari limewaka au bado ? 


Muda ni hakimu.


"Yanga wamekutana na timu dhaifu ndio maana Guede na Austine Okrah wameonyesha kiwango bora lakini kama wangekutana na timu bora wasingekuwa kwenye kiwango kama hiki ambacho tumekiona" - Alex Ngeleza, Mchambuzi.


Toa maoni yako

No comments