ALPHONSO DAVIES KUHUSISHWA NA REAL MADRID


 Nyota wa Bayern Munich na Canada Alphonso Davies beki wa kushoto anahusishwa kusajiliwa na Real Madrid kwa asilimia kubwa

Hali hii imewafanya Bayern Munich kuingiwa na hofu kubwa ya kumpoteza nyota huyo katika kikosi chake 

Beki huyo wa Canada anayecheza nafasi ya kushoto ameomba aongezewe mshahara unaoendana na hadhi yake.

No comments