Mwakinyo ameshinda katika raundi ya 9 kati 12 za pambano hilo lililopewa jina la 'Rumble in Dar II' ambalo lilichezwa Next Door Arena, Masaki jijini Dar es Salaam.
Hassan Mwakinyo anashikilia rekodi ya kushinda mapambano 18 na kupoteza mawili.
Mwakinyo ameshinda katika raundi ya 9 kati 12 za pambano hilo lililopewa jina la 'Rumble in Dar II' ambalo lilichezwa Next Door Arena, Masaki jijini Dar es Salaam.
Hassan Mwakinyo anashikilia rekodi ya kushinda mapambano 18 na kupoteza mawili.
0 Comments