FAMILIA YA WATU WATANO WAFARIKI DUNIA
Familia ya watu watano iliuawa katika ajali ya barabarani ambayo iliwaacha wasafiri zaidi ya 14 wakiwa wamekufa.
Erick Omondi mkewe Ester na watoto wao watatu, Biden wa miezi 7, Judith, 5 na Mary, 10 walifariki majira ha asubuhi wakati jamaa wengine wawili na marafiki wao wawili walipata majeraha mabaya katika eneo la Samburu kando ya Barabara kuu ya Mombasa-Nairobi.
.
Post a Comment