Advertisement

Responsive Advertisement

MSHAMBULIAJI MKENYA MICHAEL OLUNGA NDIYE KINARA WA MABAO WA MICHUANO YA LIGI YA MABINGWA ASIA (ACL) MSIMU HUU

Mshambuliaji Mkenya Michael Olunga ndiye kinara wa mabao wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Asia (ACL) msimu huu mpaka sasa, akicheza mechi tatu na kufunga jumla ya magoli manne, hat-trick moja
Olunga,27,anayeichezea Al Duhail ya Qatar,Jumatano hii alifunga hat-trick katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Asia kwenye ushindi wa 4-3 dhidi ya Esteghlal

Olunga tangu awasili Al Duhail January 2021 akitokea Kashiwa Reysol ya Japan kafunga jumla ya magoli 14."

Post a Comment

0 Comments