Advertisement

Responsive Advertisement

ALIYEFUKUZWA CHADEMA AKIRI, ATAKIWA KUFUTA KAULI


Naibu Spika wa Bunge Dk.Tulia Ackson amemtaka Mbunge wa viti maalum Jesca Kishoa kufuta kauli yake aliyoitoa bungeni leo wakati akitoa hoja kuwa ameondolewa kwenye chama chake, kwani ofisi ya bunge  haina taarifa hiyo na hakuna mbunge aliyeko bungeni ambaye hana chama.

Post a Comment

0 Comments