ZITTO KABWE AWASIHI WATU KUWA MAKINI, NIMONIA MPYA NI NOMA
- tofauti ya Nimonia hii nchini na Covid 19 duniani,
- Dalili zake na namna ya kujikinga;na
- Idadi ya wagonjwa na vifo mpaka sasa na maeneo gani ya nchi"
Inaonekana tuna Nimonia ya kipekee nchini. Nawashauri Watanzania
- Tunawe mikono kwa maji tiririka,
- Tuepuke kupiga chafya bila kujifunika
- Usisite kwenda hospitali ikiwa unahisi una dalili za mafua makali, homa na kuchoka mwili.
Usichukulie poa, nimonia mpya ni noma" - Zitto Kabwe#BinagoUPDATES
Post a Comment