Dk Tulia amefanikiwa kuwagaragaza wagombea wenzake nane wanaotoka vyama vyengine vya kisiasa huku akipata jumla ya kura 376 kati ya kura zote zilizopigwa.
Tulia aliwahi pia kuwa Naibu Spika chini ya aliyekuwa Spika wa Bunge hilo Mhe. Job Ndugai ambae amejiuzulu mapema mwezi Januari baada ya kutokea kwa mkwaruzano kati yake na Rais Samia Suluhu Hassan.
0 Comments