Mshindi Wetu wa Leo ni Beno Mushison, alitabiri mchezo utaisha kwa Benin kushinda 1-0 kupitia page yetu ya instagram ya BINAGO TV. Na tayari amepokea zawadi yake nono ya elfu 10,000 kama tulivyoweka ahadi🔥🙌FT.Tanzania 0 - 1 Benin.⚽71' Mounie
Post a Comment