Advertisement

Responsive Advertisement

DULLY SKYES; SINA BIFU NA HARMONIZE

Mkongwe pia ni mwanzilishi wa nyimbo za Bongo Fleva hapa Tanzania Prince Dully Sykes amefunguka baada ya kuulizwa kama anabifu na msanii Harmonize na kusema hana bifu lolote lile na anaweza kufanya nae kazi muda wowote.

"Ukaribu Upo kwa sababu Harmonize ni mdogo wangu kama wadogo zangu wengine kwahiyo naweza nikafanya nae kazi siku yoyote na muda wowote kama wadogo zangu wengine niwaambie tu mimi sina tatizo na kijana yoyote"

*Mimi nampenda Diamond nampenda Alikiba nampenda Harmonize yaani wote nawapenda"-Ameongea Dully Sykes

Post a Comment

0 Comments