Advertisement

Responsive Advertisement

MAJALIWA AFIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU BISWAD MSUYA

Waziri Mkuu Kassim Majliwa jana Agosti 04, 2021 amekwenda nyumbani  kwa marehemu Biswad Msuya, Kaka Mkubwa wa Mkurugenzi Mkuu wa  Usalama wa Taifa kutoa pole kwa familia kufuatia kifo cha mpendwa wao, Mbezi Beach  jijini Dar es salaam
 
Akizungumza na wafiwa na waombolezaji katika msiba huo Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa amepokea taarifa ya kifo cha marehemu Biswad  kwa mshtuko mkubwa na amewataka waombolezeji wamuombee mke wa marehemu na familia ili awape utulivu na uvumilivu wakati huu wa majonzi.

Post a Comment

0 Comments