Rais wa Haiti, Jovenel Moïse ameuawa katika shambulio ambalo limefanywa kwenye makazi yake Port-au-Prince.
Waziri Mkuu wa mpito wa Taifa hilo Claude Joseph, ambaye ndio anaongoza Taifa kwa sasa amesema watu waliofanya shambulio hilo hawajatambulika haswa ni kina nani ila ni wanajeshi wanaume.
Post a Comment