RAIS WA HAITI JOVENEL MOISE AUAWA

Rais wa Haiti, Jovenel Moïse ameuawa katika shambulio ambalo limefanywa kwenye makazi yake Port-au-Prince. 

Waziri Mkuu wa mpito wa Taifa hilo Claude Joseph, ambaye ndio anaongoza Taifa kwa sasa amesema watu waliofanya shambulio hilo hawajatambulika haswa ni kina nani ila ni wanajeshi wanaume.

No comments