Ndege hiyo ilikuwa na abiria 37 na wahudumu 3 ndani ambao wote walinusurika na majeraha kidogo.
Ndege hiyo De Havilland #Canada #DHC-8-100 yenye nambari ya usajili, 5Y-GRS ilitua kwa kuangukabkatika uwanja wa ndege wa jeshi la Burache huko Elwak karibu na Somalia ikitokea Wilson, Nairobi kuelekea Uwanja wa Ndege wa nMandera, Kenya wakati tukio hilo lilipotokea.
0 Comments