MAKAO MAKUU YA TAWA KUHAMISHIWA DAR ES SALAAM
Waziri ya Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbari amesema Wizara ya Maliasili na Utalii iko katika mchakato wa kuhamisha Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania ( TAWA) Jijini Dar es Salaam, ili kuiwezesha kuwahudumia wateja wake ambao kwa zaidi asilimia 90 wanatoka katika Jiji hilo
Ameyasema hayo wakati alipotembelea Chuo cha Viwanda vya Misitu ( FITI) kuzungumza na uongozi wa Chuo hicho
Amesema ofisi ya Morogoro haitafungwa bali kutakuwa na ofisi ndogo ya TAWA
Amesema makao hayo ni lazima yawe Dar es Salaam na hivyo TAWA hakuna haja ya kuhamia Dodoma kwa vile wateja wake wapo Jijini Dar es Salaam
" TAWA ni taasisi inayofanya biashara hivyo ni lazima iwafuate wateja wake walipo, alisisitiza Dkt.Ndumbaro
Ameyasema hayo wakati alipotembelea Chuo cha Viwanda vya Misitu ( FITI) kuzungumza na uongozi wa Chuo hicho
Amesema ofisi ya Morogoro haitafungwa bali kutakuwa na ofisi ndogo ya TAWA
Amesema makao hayo ni lazima yawe Dar es Salaam na hivyo TAWA hakuna haja ya kuhamia Dodoma kwa vile wateja wake wapo Jijini Dar es Salaam
" TAWA ni taasisi inayofanya biashara hivyo ni lazima iwafuate wateja wake walipo, alisisitiza Dkt.Ndumbaro
Post a Comment