WAFANYABIASHARA WA GESI YA KUPIKIA WAPEWA WITO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Philo Isdor Mpango ametoa wito kwa wafanyabiashara wa gesi ya kupikia kubuni mbinu kusaidia wananchi wa kipato cha chini ili waweze kumudu gharama ya nishati hiyo mbadala.
Dkt.Mpango amesema, licha ya uwepo wa baadhi ya nishati mbadala ambazo watu huweza kuzitumia kama vyanzo vya kupikia lakini ukuaji wa matumizi wa nishati hizo ni wa asilimia mbili tu kwa mwaka.
Alisema tatizo kubwa lililo mbele yetu ni namna gani unapunguza bei ya nishati mbadala na bei ya majiko, sasa naomba niwasihi vyuo vyetu na vinginevyo, watafiti ni nini kinasababisha bei ya nishati mbadala na vifaa husika kuwa kubwa na nini kifanyike.

Dkt.Mpango amesema, licha ya uwepo wa baadhi ya nishati mbadala ambazo watu huweza kuzitumia kama vyanzo vya kupikia lakini ukuaji wa matumizi wa nishati hizo ni wa asilimia mbili tu kwa mwaka.
Alisema tatizo kubwa lililo mbele yetu ni namna gani unapunguza bei ya nishati mbadala na bei ya majiko, sasa naomba niwasihi vyuo vyetu na vinginevyo, watafiti ni nini kinasababisha bei ya nishati mbadala na vifaa husika kuwa kubwa na nini kifanyike.

Post a Comment