"Hii ni Ligi ya Mabingwa, tunatarajia mchezo mgumu kesho hasa sababu tupo ugenini lakini hatutaki kuzuiliwa. Kaizer Chiefs ni timu kubwa hatuwezi kuidharau lakini tupo tayari kupambana."- Kocha Didier Gomes kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Kaizer Chiefs.
0 Comments