Huku kesi ya rushwa inayomkabili Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ikitarajiwa kusikilizwa mwezi ujao, mwanasiasa huyo amepata pigo la kukimbiwa na wanasheria wake.
Taarifa mpya ni kwamba wanasheria wake wamejiweka kando kumsimamia Zuma kwa kuwasilisha ombi lao mbele ya Mahakama Kuu ya Pietermaritzburg.
Mmoja ya wanasheria hao ni Eric Mabuza lakini hakuweka wazi sababu iliyomfanya kufikia uamuzi huo wa kumpa kisogo bosi wake huyo.
Taarifa mpya ni kwamba wanasheria wake wamejiweka kando kumsimamia Zuma kwa kuwasilisha ombi lao mbele ya Mahakama Kuu ya Pietermaritzburg.
Mmoja ya wanasheria hao ni Eric Mabuza lakini hakuweka wazi sababu iliyomfanya kufikia uamuzi huo wa kumpa kisogo bosi wake huyo.
0 Comments