‘mnapohangaika na deni la Simba Kwa mchezaji na kisha kutengeneza cinema zenu feki,msisahau kesho tunakwenda kuongoza ligi tayari Kwa kuchukua kombe letu ‘ 23/4/2021
Hiyari ni yenu kuendelea kujipa furaha ya muda leo au kuanza kuishi Kwa maumivu yasiyoisha kuanzia hyo kesho !!
Kuchagua nako ni kupanga
0 Comments