KOCHA MPYA WA SIMBA ASEMA TIMU ALIYOONDOKA ALIAMUA MWENYEWE
“Timu niliyoondoka niliamua mwenyewe, nataka kuwepo Simba kwa muda mrefu, ninayo furaha sana kuwa hapa na tuna nafasi ya kufanya mengi pamoja mbeleni”- Kocha mpya wa Simba Didier Gomes baada ya kutambulishwa
“Nina furaha sana kuwa hapa na tuna nafasi ya kufanya mengi pamoja mbeleni.”- Kocha Didier baada ya kutambulishwa."- Gomes
#BinagoUPDATES
Post a Comment