JE? MHE. FREEMAN MBOWE KUNYONGWA?

Inadaiwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe anakaa katika Magereza ya wale watu wanaosubiliwa Kunyongwa, unadhani Mhe. Freeman Mbowe ameshahukumiwa tayari na nini Maoni Yako Juu ya Hili?

No comments