Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam, imemfutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara Marijan Msofe (53) maarufu Papa Msofe na wenzake wanne.
Ni baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania( DPP) kuieleza mahakama hiyo kuwa hana nia ya kuendelea na shauri dhidi ya washtakiwa hao.
0 Comments