• HOME
  • BREAKING NEWS
  • TAMTHILIA
  • MICHEZO
  • MATANGAZO
  • CONTACT US

BINAGO BLOG

  • Home
  • Home / Habari / KAZI KUBWA YA MSANII NI KUWASILISHA MAWAZO

    KAZI KUBWA YA MSANII NI KUWASILISHA MAWAZO

    Bisaya Raphael June 14, 2021 Habari
    JIMMY MAFUFU;
    kiwa Msanii Kazi Yako Kubwa Kitaalamu Ni Kuwasirisha Mawazo Yaliyomo Katika Fikra Za Binadamu, Hii Ndio Tafsiri Ya Kisomi Sio Ya Mtaani, Kutibu Majeraha Ya Walaji, Kuponya Nyoyo Zao, Kufundisha, Kukosoa, Kukalipia Kupongeza Kuelimisha Na Kuburudisha, Msanii Ukiona Sanaa Na Usanii Wako Hautendi Kazi Hizo Tajwa Hapo Juu Ujue Wewe Ni Makapi, Wasanii Ni Kama Wachungaji Au Mapadre Ambao Kiroho Wao Ndio Macho Na Daraja La Kanisa Hapa Duniani Ambao Kazi Yao Ni Kuwaunganisha Waumini Na Mungu Kupitia Neno La Mungu

    Na Wasanii Ni Macho Na Masikio Ya Jamii, Wito Wangu Kwenu Oneni Na Msikie Yote Msichague Mambo Ya Kuona Na Kusikia Mtakosa Mambo Ya Kusema Kama Ilivyo Leo Asomae Na Afahamu

    Nimekuwa Kwenye Tafakari Kubwa Sana Juu Yako Broo @mdudechadema Mimi Naamini Kama Mahakama Itatenda Haki Sina Mashaka Utakuwa Huru Na Kuungana Na Familia Yako, Watanzania Wengi Timamu Wanaamini Hauna Hatia Karibu Uraiani Kamanda Mdude, Taifa Linahitaji Vijana Kama Wewe Ambao Kwao Vidonge Vya Ndio Kwenye Kila Jambo Ni Mwiko, Mungu Akutendee Muujiza Broo 🙏

    Related Posts

    Habari

    Post a Comment

    No comments

    Subscribe to: Post Comments ( Atom )

    KWA SHEREHE NA SEMINA KARIBU UKUMBI WA LAKE TANGANYIKA, NZEGA-TABORA

    FOOTBALL STORIES

    Follow us

    • Like on Facebook
    • Follow on Twitter
    • Follow on Instagram
    • Subscribe on Youtube

    Popular Posts

    • kusuka na unyoaji katika Biblia
      kusuka na unyoaji katika Biblia
       KAMA MUNGU ALIVYOKWISHA KUWAONYA WANAWAKE ! NDIVYO ALIVYOKWISHA KUWAONYA WANAUME PIA. BWANA YESU asifiwe!😅 Maranatha!😅🙏🏻 N...
    • Je kutoa Mahari ni sawa ktk biblia?
      Je kutoa Mahari ni sawa ktk biblia?
      *https://youtu.be/-P4s8sVq31o* 🤔🤔🤔🤔🤔 *JE NI HALALI KWA MKRISTO KULIPA MAHARI ILI AOE?????* 🤔🤔🤔🤔🤔 . . . Hebu tutazame k...
    • HII NDIO MISINGI YA KANISA LA WASABATO DUNIANI
      HII NDIO MISINGI YA KANISA LA WASABATO DUNIANI
      KANISA LA #SDA LINA MISINGI 28 AMBAYO NI 1.Neno la Mungu 2.Utatu mtakatifu 3.Mungu baba 4.Mungu mwana 5.Roho mtakatifu 6.Uumbaji...

    Labels

    Habari MICHEZO Live injili Tamthilia Kesha la Asubuhi BREAKING NEWS magazeti Matangazo Covid19 Mastaa Viongozi today's quote Lesoni leo Wimbo wa Leo barikiwa Je Wajua? KULFI Bongo Movies Stories TETESI ZA USAJILI

    Facebook

    Created By SoraTemplates | Distributed By Gooyaabi Templates