• HOME
  • BREAKING NEWS
  • TAMTHILIA
  • MICHEZO
  • MATANGAZO
  • CONTACT US

BINAGO BLOG

  • Home
  • Home / MICHEZO / YANGA WASHINDWE WENYEWE

    YANGA WASHINDWE WENYEWE

    Bisaya Raphael May 30, 2021 MICHEZO

    NA PRISCA KISHAMBA;
    YANGA ishindwe yenyewe! Ndiyo utakavyoweza kusema ni baada ya Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kutangaza kuachana na straika Mzambia, Lazarous Kambole.

    Katika msimu uliopita, Yanga ilikuwepo katika mipango ya kumsajili Mzambia huyo kabla Chiefs kuingilia kati na kumnasa kwa dau la dola 200,000 (zaidi ya Sh 459m) akitokea Zesco United.

    Yanga hivi sasa ipo kwenye mipango ya kukisuka kikosi chake ikiwemo safu ya ushambuliaji ambayo imeshindwa kuonyesha makali inayoongozwa na Mghana Michael Sarpong na Fiston Abdoulrazack.

    Kwa mujibu wa taarifa ambazo imezipata Championi Jumatatu, kutoka Chiefs upo uwezekano mkubwa wa mshambuliaji huyo kuachwa katika mipango ya klabu hiyo baada ya kufanya vibaya katika ligi.

    Chiefs itaachana na nyota huyo kwa lengo la kuacha nafasi ya kumsajili mshambuliaji mwingine mwenye uwezo mkubwa wa kufunga mabao zaidi ya Kambole ambaye hana nafasi ya kudumu ya kucheza katika kikosi cha kwanza.

    Related Posts

    MICHEZO

    Post a Comment

    No comments

    Subscribe to: Post Comments ( Atom )

    KWA SHEREHE NA SEMINA KARIBU UKUMBI WA LAKE TANGANYIKA, NZEGA-TABORA

    FOOTBALL STORIES

    Follow us

    • Like on Facebook
    • Follow on Twitter
    • Follow on Instagram
    • Subscribe on Youtube

    Popular Posts

    • Je kutoa Mahari ni sawa ktk biblia?
      Je kutoa Mahari ni sawa ktk biblia?
      *https://youtu.be/-P4s8sVq31o* 🤔🤔🤔🤔🤔 *JE NI HALALI KWA MKRISTO KULIPA MAHARI ILI AOE?????* 🤔🤔🤔🤔🤔 . . . Hebu tutazame k...
    • kusuka na unyoaji katika Biblia
      kusuka na unyoaji katika Biblia
       KAMA MUNGU ALIVYOKWISHA KUWAONYA WANAWAKE ! NDIVYO ALIVYOKWISHA KUWAONYA WANAUME PIA. BWANA YESU asifiwe!😅 Maranatha!😅🙏🏻 N...
    • HII NDIO MISINGI YA KANISA LA WASABATO DUNIANI
      HII NDIO MISINGI YA KANISA LA WASABATO DUNIANI
      KANISA LA #SDA LINA MISINGI 28 AMBAYO NI 1.Neno la Mungu 2.Utatu mtakatifu 3.Mungu baba 4.Mungu mwana 5.Roho mtakatifu 6.Uumbaji...

    Labels

    Habari MICHEZO Live injili Tamthilia Kesha la Asubuhi BREAKING NEWS magazeti Matangazo Covid19 Mastaa Viongozi today's quote Lesoni leo Wimbo wa Leo barikiwa Je Wajua? KULFI Bongo Movies Stories TETESI ZA USAJILI

    Facebook

    Created By SoraTemplates | Distributed By Gooyaabi Templates