Advertisement

Responsive Advertisement

SULEIMAN JAFO: NAFAHAMU MMEKUWA MKIJITOA

"Nafahamu, nyinyi mmekuwa wadau wakubwa katika hifadhi ya mazingira nchini na
mmekuwa mkijitoa katika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na utoaji wa elimu
kwa umma kuhusu agenda hii muhimu ya mazingira kwabmustakabali wa vizazi vya
sasa na vizazi vijavyo" - MHE. SELEMANI JAFO
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais
(Muungano na Mazingira).

Post a Comment

0 Comments