Advertisement

Responsive Advertisement

PICHA YA PAMOJA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya kumbukumbu na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni pamoja na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango mara baada ya hafla ya utiaji saini Mkataba wa nchi hodhi wa ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi la Afrika Mashariki la kutoka Hoima (Uganda) hadi Chongoleane Tanga (Tanzania).

Post a Comment

0 Comments