Advertisement

Responsive Advertisement

DOROTHY GWAJIMA; HEDHI SIO UGONJWA

"Hedhi sio ugonjwa wala laana, bali ni baraka za kawaida na Baraka ya uumbaji wa Mwenyezi Mungu inayomtokea msichana mara baada ya kuvunja ungo kwenye mfumo wa maumbile yake ya uzazi" 

Amesema Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima katika ofisi za Wizara Jijini Dodoma wakati akiongea na waandishi wa Habari kuhusu siku ya hedhi ambayo inaadhimishwa kila mwaka duniani kote kila ifikapo tarehe 28 mwezi Mei

Post a Comment

0 Comments