Mshambuliaji Mtanzania Said Khamis Jr
@said_saidjr10 anayecheza UAE katika klabu ya
@baniyasclub ameibuka kinara wa magoli ligi ya falme za kiarabu
@agleague U21 kwa kupachika goli 22 katika mechi 23 na assist 10.
Said jr amefikisha goli hizo baada ya leo kufunga goli 2 na assist 1 kwenye ushindi wa goli 5-1.
Big up
@said_saidjr10 kazi nzuri.
0 Comments