Advertisement

Responsive Advertisement

RONALDO AJITOSA EUROPEAN SUPER LEAGUE, AFURAHIA MASHINDANO YA SUPER LEAGUE

Mshambuliaji wa klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo kuhusu SuperLeague amesema "Nimefurahi, mashindano haya mapya ni changamoto mpya kwangu". Juventus ni moja ya vilabu 12 vilivyoanzisha michuano hiyo, ambayo itakuwa inafanyika August - May.

UEFA inapinga vikali michuano hiyo.

Post a Comment

0 Comments