RAIS SAMIA AKIHUTUBIA BUNGE.
“Miaka 6 imepita tangu niondoke kwenye Jengo hili la Bunge, leo ninayo furaha kurudi tena na kupata fursa ya kuhutubia Bunge ambalo kimsingi limenijenga, limenilea, limeninoa na kufanya uwezo wangu uonekane na kushika nafasi hii niliyonayo leo” Rais Mhe. SSH
0 Comments