Papa Wemba alifariki Jumapili Alfajiri, April 24 baada ya kuanguka jukwaani alipokuwa akitumbuiza kwenye tamasha la FEMUA mjini Abidjan, Ivory Coast. Video zilizowekwa mtandaoni zinamuonesha akianguka mgongo wakati akiimba.
Alifariki hata kabla kufikishwa hospitali.
0 Comments