- Mpaka sasa (Vpl) hakuna mchezaji mwenye uwiiano mzuri wa idadi ya mechi na magoli aliyohusika kama Saido Ntibazonkiza 🇧🇮
👕 06 = Michezo
🎯 05 = Assists
⚽ 04 = Goals
- Michezo (6) amehusika kwenye magoli (9) ligi kuu Tanzania bara 🔥
NB ; Lakini alichokifanya leo baada ya kufunga goli na kuomba sub kimeonesha kocha timu imemzidi, nidhamu hakuna.
- Binafsi nasema Saido anatakiwa awaombe radhi wanayanga kwa kumdharirisha kocha Juma Mwambusi na viongozi wengine.
- Ni utovu wa nidhamu, yeye hatakiwi kujiona ni mkubwa kuliko timu. Yanga ni kubwa kuliko yeye ... Hata kama hakupenda kuwekwa benchi hakutakiwa kufanya vile mbele ya macho ya watu wote.
0 Comments