Advertisement

Responsive Advertisement

MPAKA SASA HAKUNA MCHEZAJI MWENYE UWIANO MZURI WA IDADI YA MECHI NA MAGORI KAMA NTIBANZOKIZA

S A I D O - N T I B A Z O N K I Z A !
- Mpaka sasa (Vpl) hakuna mchezaji mwenye uwiiano mzuri wa idadi ya mechi na magoli aliyohusika kama Saido Ntibazonkiza 🇧🇮

👕 06 = Michezo
🎯 05 = Assists
⚽ 04 = Goals

- Michezo (6) amehusika kwenye magoli (9) ligi kuu Tanzania bara 🔥

NB ; Lakini alichokifanya leo baada ya kufunga goli na kuomba sub kimeonesha kocha timu imemzidi, nidhamu hakuna.

- Binafsi nasema Saido anatakiwa awaombe radhi wanayanga kwa kumdharirisha kocha Juma Mwambusi na viongozi wengine.

- Ni utovu wa nidhamu, yeye hatakiwi kujiona ni mkubwa kuliko timu. Yanga ni kubwa kuliko yeye ...  Hata kama hakupenda kuwekwa benchi hakutakiwa kufanya vile mbele ya macho ya watu wote.

Post a Comment

0 Comments